Friday, June 15, 2012

MANDHARI MURUWA YA BWALO LA POLISI MARA.

Uzuri wa ufukwe huu wanaojivunia watu wa Musoma ni matunda waliyoyavuna toka kwa kamanda Mwadilifu mpendwa wa watu ACP BOAZ aliyehamia kikazi mkoa wa Kilimanjaro hakika anapongezwa kwa mengi zaidi ni ukarabati mkubwa alioufanya katika Bwalo la Maofisa wa polisi.

No comments:

Post a Comment