Saturday, June 16, 2012

AJALI MBAYA YA WAPANDA PIKIPIKI "BODABODA "MUSOMA.





Watu watatu akiwemo mwanamke mmoja anayekadiriwa KUWA na umri kati ya miaka 70 na 75   wamepata ajali mbaya katika balabala ya Mukendo  mjini Musoma  baada ya pikipiki hizo kugongana uso kwa uso. inadaiwa.
Mashuhuda wa ajali hiyo anadai chanzo cha ajali  ni mwendo wa kasi na kutozingatia matumizi sahihi ya alama za Balabalani.Majeruhi wote wamekimbizwa hospitali ya Mkoa wa Mara mjini hapa, hali za majeruhi ni mbaya.
Tatizo la waendesha Bodaboda kutozingatia sheria za usalama barabarani na alama za barabarani limekua ni tatizo sugu na lisipodhibitiwa vikamilifu litasababisha vifu vingi.
Mashuda wa ajali hii wanawalalamikia mno Madereva wa BODABODA kwa madai kuwa wengi wao hawana Elimu ya matumizi ya Barabara na Udereva.

No comments:

Post a Comment